iqna

IQNA

naftali b
TEHRAN (IQNA)- Harakati ya Jihad Islami ya kupigania ukombozi wa Palestina imelaani vikali kitendo cha viongozi wa Imarati cha kumpokea nchini humo Naftali Bennett, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel na kueleza kwamba, hiyo ni khiyana na usaliti kwa taifa la Palestina.
Habari ID: 3474670    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/13